NYUMBA INAUZWA

Written by  //  11/12/2012  //  Matangazo  //  4 Comments

Asalam alaykum,ndugu zangu niko na nyuba ya vyumba 4 nauza,Pia ina kiwanje cha ziada cha nyumba nyengine, Ambamo muna minazi 5 , mitomoko 2 ,mi avocado 2 , mdalasini 1 ,mtufaa 1 nk. Nyumba iko Bu3 silver kwa maelezo piga no hii +447448808859.asanteni

About the Author

View all posts by

4 Comments on "NYUMBA INAUZWA"

  1. Banda 11/12/2012 at 6:05 um ·

    Huuuzi nyumba wewe haya maelezo gani ? tuwekee maelezo yakutosha , kisha utuwekee na picha tuone nyumba ilivo nje na ndali
    watuletea porojo hili ndo vipi hivi

  2. butiama 12/12/2012 at 9:51 mu ·

    wewe banda mbona unakuwa sio mstaarabu mfhaamishe vizuri mwenzio sio kutoa kugha za jeuri kiburi na matusi wewe umejuwaje kama hauzi nyumba tuwe wastaarabu wabillahi taufik

  3. msa 21/12/2012 at 7:17 mu ·

    MOHAMED -KOLASH FUONI – NI VIZURI ULIVYOTAJA ILA MBONA NAMBA ULIZOWEKA NI ZA UENGEREZA NA WAKATI NYUMBA IPO BUBUBU? TUWEKEE NAMBA ZA TZ ILI TUNUNUE

  4. Gombani 21/12/2012 at 7:11 um ·

    mas,nikweli unavyosema lakini,sina mtu dhamana kwa znz ila ukinipigia nitakupa data na mtu wa kumfata ila no yake siwezi kuiweka humu,lakini ikiwa uko serious nipigie japo miss call,baadae nitakupigia,asante sh.mohamed.

Comments are now closed for this article.