Matangazo mbali mbali

kamati_moyo
KONGAMANO KUBWA LA MKATABA BWAWANI – TAREHE 25/05/2013
16/05/2013, 35 Comments

TANGAZO! Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Kamati ya Maridhiano inawatangazia wapenzi waza ...

TANGAZO LA MSIKITI
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI WA FUONI IJITIMAI
12/05/2013, 8 Comments

Asalam Alaikum, Ndugu Waislam, munaombwa kufungua account isiyoliwa na wadudu wala kufilisika kwa kuchangia ujenzi wa ms ...

KIWANJA KINAUZWA
09/04/2013, 4 Comments

Ndugu wanamzalendo kipo kiwanja kinauzwa maeneo ya Mombasa kwa Dk. Shein. Nikiwanja cha Plan, yaani kimepimwa. Bei ni ma ...

MTANDAO MPYA YA KIJAMII UMEINGIYA
26/03/2013, 6 Comments

Napenda kuchukuwa fursa hii kwa wana Mzalendo au kwa wale ambao hupata habari kwa kupitiya mtandaoni basi wasikose kuipi ...

Alnoorcet AGM 2013
14/03/2013, Zima maoni

mzalendo_sheikh_nassor_bachu
Shk.Nassor Bachu amefariki
13/02/2013, 34 Comments

Inna lillahi wa inna ilaihi rajiun! Kwa taarifa za kuaminika hii leo zinaeleza kuwa sheikh Nassor Bachu amefariki hii l ...

Saidia Zanzibar kwa kutuma fedha kupitia PBZ
10/02/2013, 9 Comments

Dear brother, Ni sisi Zanzibar-Canadian Diaspora Association (ZACADIA)tunawasiliana na wewe. The People’s Bank of ...