habari za michezo

About Tanzania Football Federation (TFF):
18/03/2013, 3 Comments

Leo katika Blog ya Zanzinews mwandishi Salim Vuai ameandika makala inayozungumzia mahusiano ya TFF na maendeleo ya mpira ...

Z’bar Heroes yaingia kambini
23/05/2012, 1 Comment

Tuesday, 22 May 2012 Sosthenes Nyoni KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Zanzibar(Zanzibar heroes), Hemed Morocco ametangaza ...

Black Sailors yakata rufaa ZFA
17/03/2012, Zima maoni

Na Mwajuma Juma TIMU ya Soka ya Black Sailors imekata rufaa kwa kamati ya Rufaa na Usuluhishi Zanzibar kupinga mamuzi ya ...

Wachezaji wa Kikwajuni wamshambulia mwamuzi Sheha Waziri
17/03/2012, 2 Comments

Na Mwajuma Juma WACHEZAJI wa timu ya Kikwajuni juzi walimshambulia mwamuzi wa Kimataifa Waziri Sheha Waziri kwa kipigo k ...

Timu ya Jamhuri
06/03/2012, 1 Comment

Na Fatma Said, Zanzibar WAWAKILISHI wa Zanzibar katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika timu ya Jamhuri wanatarajiwa ku ...

Kutoka uwanjani Mao Tsetung – Pambano kali linaendelea.
08/02/2012, 3 Comments

Naam wapenzi wasikilizaji jioni hii hapa katika kwainja cha Mao Tsung pambano kati ya time za Supper Falcon kutoka kule ...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akimvisha nishani kijana Mohd Khamis mwenye ulemavu wa akili baada ya kupata ushindi katika michezo ya Special Olimpik kwa ajili ya watu wenye ulemavu yaliyofanyika Morogoro. Hafla hiyo ilifanyika uwanja wa michezo Gombani Pemba.
Olimpik ya walemavu – Gombani Pemba
14/01/2012, 1 Comment

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amekabidhi nishani mbali mbali kwa vijana wenye ulemavu wa ...