Jana majira ya saa 3.30 usiku Askari wa Vikosi vya SMZ (Mazombi) Wakiwa katika gari aina ya Pickup(nyeupe) ilobeba askari wapatao 20 wakiwa na silaha za moto na kienyeji Walivamia Barza ya Wana CUF Taveta huko […]
Part-1 Asslam Aleykum Jina langu naitwa Fauzia Abdullah Saif Al Bahry. Mimi ni mjane wa Said Iddi BAVUAI, na nimeishi nae si chini ya miaka thalathini. Nimezaa nae nimejukuu nae, na nimemkalia mpaka EDA. Na mpaka […]
Na Mzanzibari Halisi Ni mwaka mmoja sasa tangu upite uchaguzi Mkuu, kwa upande wetu Zanzibar hali ni tete, maisha yamekuwa magumu kupita maelezo, hii inatokana na kwamba Serikali ambayo ipo madarakani kwa sasa haikubaliki na wananchi […]
ZANZIBAR KATIKA ANGA ZA KIMATAIFA HESHIMA KUBWA KWA OTHMAN MASOUD OTHMAN NA KWA ZANZIBAR NI HESHIMA KUBWA kuwaarifu kwamba Mkutano Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la WIPO (World Intellectual Property Organization) uliofanyika Geneva, Switzerland […]
Picha: Maalim Seif Sharif Hamad ambaye tarehe 22 Oktoba 2016 alitimiza umri wa miaka 73, alizaliwa tarehe hiyo, mwaka 1943. Maalim Seif ni kipenzi cha Wazanzibari kwa asalimia 79.5 wanoishi ndani na asilimia 91.03 wanaoishi nje […]